Friday, 19 December 2014

NATAFUTA MWANAUME WA KUZAA NAYE.


Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ Penniel Mwingilwa amesema sasa anatamani kuzaa lakini tatizo lipo kwa mwanaume wa kuzaa naye.

Tuesday, 2 December 2014

SHEKHE AFA AKIZIKA




Aliyekuwa Shehe Mkuu wa Bakwata Wilaya ya Mbeya, Abubakar Mketo amefariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita  kufuatia kuanguka ghafla makaburini wakati akitoa mawaidha ya Kiislam ya jinsi waumini wanavyotakiwa kuishi katika ulimwengu wa dhambi! Inauma sana!

MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO


Daraja likifurika maji baada ya mvua kubwa kunyesha asubuhi ya leo jijini Mwanza.