Karibu mpenzi msomaji kwenye blog hii, ili tuweze kuhabarishana na kubadilishana mawazo juu ya masuala ya MICHEZO SIASA ELIMU, MAISHA na mengineyo ndani na hata nje ya Tanzania. Simu :+255655534913/ +255764547675 Barua pepe :erastotoga@gmail.com
Sunday, 23 April 2017
Polisi Waua Majambazi Watatu Walioua Askari Kibiti
April 23, 2017
Jeshi la polisi mkoani Pwani limewaua kwa kuwapiga risasi watu watatu
wanaodhaniwa kuhusika na mauaji ya viongozi wa vijiji na vitongoji na
Saturday, 22 April 2017
Gabo Afunguka Kuonja Penzi la Wema Sepetu
April 22, 2017
Thursday, 20 April 2017
Shamsa Ford Yamkuta Mazito Dar
STAA wa kutoka kiwanda cha filamu cha Bongo Muvi, Shamsa Ford ‘Chausiku’, amepata jeraha la maisha baada ya kupigwa ngumi na jamaa ambaye jina lake halikufahamika mara moja.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram
April 19, 2017
Kupitia ukurasa wake wa Instagram
April 19, 2017
Watu Kibao Kutekwa 2017, Hatari Zaidi kwa wasanii Wapewa Mwongozo
HALI ni tete! Kutokana na matukio ya utekaji yanayoendelea nchini, hali bado ni mbaya kwani habari zinaeleza kwamba bado matukio hayo yataendelea kwa wingi mwaka huu wa 2017 ili kujua
Ajira Ajira Ajira…
Ajira ajira ajira .......Nafasi za kazi 300 zimetoka mshahara mnoo sana ni fursa nyingine kwa vijana kuchangamkia nafasi hizo
Tazama Jiwe Kubwa Zaidi Lililopita Karibu na Dunia Jana Jumatano
Tazama jiwe kubwa sana lillilopita karibu na Dunia ambalo lilinaswa na mitambo ya satelite likionekana karibu kabisa na Dunia
April 20, 2017
Asteroidi kubwa ambayo inakadiriwa kuwa na ukubwa karibu sawa na wa Jiwe la Gibraltar imepita salama karibu na Dunia.
Sunday, 16 April 2017
Waziri Majaliwa Kaagiza Mkurugenzi wa Kampuni ya 4×4 Tanzania Limited Akamatw
Kikosi cha Simba dhidi ya Toto African leo
APRIL 15, 2017
Klabu ya Simba SC kimeweka hadharani kikosi chake cha wanajeshi 11 kitakachokwenda kuvaana na Toto African mchana wa leo kwenye uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara
Subscribe to:
Posts (Atom)