Karibu mpenzi msomaji kwenye blog hii, ili tuweze kuhabarishana na kubadilishana mawazo juu ya masuala ya MICHEZO SIASA ELIMU, MAISHA na mengineyo ndani na hata nje ya Tanzania. Simu :+255655534913/ +255764547675 Barua pepe :erastotoga@gmail.com
Friday, 19 December 2014
Tuesday, 2 December 2014
Sunday, 30 November 2014
Thursday, 6 November 2014
Sunday, 2 November 2014
Tuesday, 21 October 2014
KOMANDO WA JWTZ AUA KISA MAPENZI
INAUMA sana! Baadhi ya ndugu waliokuwa wakiuaga mwili wa Aron Kihundwa (28) kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar walijikuta wakidondoka na kuzimia kufuatia uchungu wa kumpoteza mpendwa wao huyo aliyedaiwa kuuawa na Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Octavian Mgowele.
Friday, 17 October 2014
SIRI NZITO ZAFICHUKA TRAFIKI WA MAHABA
BAADA ya kuvuja kwa picha katika mitandao ya kijamii wiki iliyopita, iliyowaonesha askari wawili wa usalama barabarani wakiwa ‘kimahaba niue’ ndani ya sare za kazi na kusababisha kupoteza ajira zao kutokana na kukiuka maadili, siri zaidi nzito zimezidi kuvuja kuhusiana na ishu hiyo na Amani limemuibua afande wa kike baada ya kumsaka sana.
MAMA AMNG'ATA ULIMI SERENGETI BOYS
HATARI! Katika hali isiyotarajiwa, mwanamke mmoja aliyefahamika kama Mama Abuu amefanya tukio la ajabu baada ya kumng’ata na kumkata ulimi kijana Paulo Simon mwenye umri wa miaka 18, kufuatia ‘Serengeti Boy’ huyo kukataa kufanya naye mapenzi katika eneo la Tindigani, Kimandolu mjini Arusha hivi karibuni.
Tuesday, 14 October 2014
MAMA KANUMBA, LULU NDANI YA FILAMU MPYA IITWAYO 'MAPENZI YA MUNGU'
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxhS3CHC44ZdbJDuCmEswC6u-yXyDDVEp8K_0UlaiYIfQUigK2V0Mi-RzO_hGe8tdolwv49OOHgvgd1elJf1OSphu0CWWe_PpBstPXtG7K-UKetd13Mbl-uf5LJlNz3fVnkPpnSro3Es4/s1600/mapenzi+ya+mungu.jpg)
Saturday, 4 October 2014
Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa
Mwanamke mmoja nchini Sweden amejifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji.
Mwanamke
huyo mwenye umri wa miaka 36 alizaliwa bila kizazi kabla ya kuwekewa
kizazi cha mwanamke aliyekuwa katika miaka yake ya sitini.Muingereza mwengine akatwa kichwa
BIRTH DAY YA DIAMOND WEMA AWA GUMZO
NI Gumzo!
Hiyo ndiyo kauli pekee inayoweza kuakisi pati ya kuzaliwa ya supastaa
wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye ametimiza umri wa
miaka 25, iliyofanyika usiku wa kuamikia jana kwenye Ukumbi wa Golden
Jubilee Tower (PSPF), Posta jijini Dar, Risasi Jumamosi lilikuwepo ndani
ya nyumba.
NI Gumzo!
Hiyo ndiyo kauli pekee inayoweza kuakisi pati ya kuzaliwa ya supastaa
wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye ametimiza umri wa
miaka 25, iliyofanyika usiku wa kuamikia jana kwenye Ukumbi wa Golden
Jubilee Tower (PSPF), Posta jijini Dar, Risasi Jumamosi lilikuwepo ndani
ya nyumba.
Thursday, 2 October 2014
Mwanasheria Mkuu Z’bar azikataa ibara 22 Katiba
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman.
“Kwa hiyo kama Serikali haikuwa na msimamo kwa maana
ya upande, maana yake ni ipi pengine unisadie… nilipiga kura kwa
kuzingatia utashi wangu na maoni yangu.”
Dk. Mbasa aionya serikali
MBUNGE wa Bihalamuro, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe
serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana kama itashindwa kuongeza
pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati.
Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia katika hotuba ya bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2014/15.
Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia katika hotuba ya bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2014/15.
Kura za Z’bar ni pasua kichwa
Mwenyekiti wa Bunge la katiba Samweli Sitta akizungumza Bungeni Dodoma jana.PICHA|MAKTABA
Na Mwandishi Wetu, Mwananchi
Tuesday, 30 September 2014
Monday, 29 September 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)