Saturday, 30 August 2014

CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa.

Everton yamsajili Etoo



Everton inataka kumsajili mshambulizi nyota kutoka Cameroon Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka 2
Everton imemsajili mshambulizi nyota kutoka Cameroon Samuel Eto'o kwa mkataba mrefu .
Mshambulizi huyo aliruhusiwa kuondoka Chelsea mwisho wa msimu uliopita.

HAPPY BIRTH DAY MY LOVELY DADY





 28th August 2014

Friday, 29 August 2014

KUTOKA BUNGE LA KATIBA LEO

Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu Hassan (aliyebeba mkoba) akiwasili Bungeni kuendelea na majukumu ya Bunge Maalum la Katiba. Aliyemtangulia mbele ni Mkuu wa Idara wa shughuli za Bunge John Joel.

WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI


Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS.

AJALI YAUA 10 NA KUJERUHI 7 MBALIZI MKOANI MBEYA LEO


Daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace baada ya kuparamia lori.

Bayern yamsajili Xavi Alonso


Bayern Munich yamsajili Xavi Alonso kwa miaka 2

Wanne hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa



Wawili kati ya sita walioshitakiwa wamefutiwa mashitaka
Wanaume wanne waliokuwa wameshitakiwa kwa kosa la jaribio la kumuua aliyekuwa jasusi wa Rwanda Generali Faustin Kayumba Nyamwasa, nchini Afrika Kusini wamepatikana na hatia ya kosa hilo.
Nyamwasa alipigwa risasi na kujeruhiwa mwezi Juni mwaka 2010 nje ya nyumba yake mjini Johannesburg. .

Monday, 25 August 2014

DRC: Watu wawili wafa kwa Ebola


Picha ya Maktaba ikimwonyesha mgonjwa wa Congo mwenye umri wa miaka 43 akiwa kituo cha wagonjwa wa Ebola Septemba 29,2007

DENTI ABAKWA NA MUUZA GENGE


Msala! Kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala, Dar kuna faili la kesi namba MBL/RB/ 9817/2014- KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI ambalo linamsaka kijana Juma Athumani (30), mkazi wa Charambe, Mbagala kwa kosa la ubakaji wa denti wa darasa la saba.

KESI KIFO CHA KANUMBA, SURA MPYA!


Uchunguzi wa gazeti hili…

Jipya! Baada ya kimya cha muda mrefu, imefichuka kwamba kesi ya kuuawa kwa aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’ imechukua sura mpya baada ya kuanza kusikilizwa kimyakimya, Ijumaa Wikienda limenasa kinachoendelea.

Sunday, 24 August 2014

Diamond aamua kutangaza ndoa Rasmi


Wema akiwa na Diamond  

VIBAKA WACHOMWA MOTO HADI KUFA

Baadhi ya wananchi wakishuhudia jinsi miili hiyo inavyoteketea.

TANZANIA YAPIGWA NA WAKONGWE WA REAL MADRID

Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo akiwatoka wachezaji wa Tanzania Eleven wakati wa mechi hiyo.

JUX: KWELI JACK PATRICK ALIKUWA NI MPENZI WANGU!

MALOVEE! Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo wake wa Nitasubiri, Juma Khalid ‘Jux’, kwa mara ya kwanza amevunja ukimya na kufungukia penzi lake na modo anayedaiwa kufungwa nchini China kwa msala wa madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’.
Staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo wake wa Nitasubiri, Juma Khalid ‘Jux’.
Jux ambaye anasoma nchini China huku akifanya muziki wa Bongo Fleva, alifunguka hayo juzikati katika ‘exclusive interview’ aliyoifanya na mwanahabari wetu alipokuwa mjini Kahama alipokwenda kwenye Serengeti Fiesta 2014.

MASHABIKI WAMUUA MCHEZAJI ALGERIA

MCHEZAJI kutoka Cameroon amekufa baada ya kupigwa kichwani wakati mashabiki waliokereka waliporusha mawe mwisho wa mechi ya Ligi ya Algeria.