Tuesday, 19 August 2014

FIKRA PEVU FROM DRY JANI

daah!"Nimepitia mengi sana;Wanasema Uzee dawa, siyo siri kwangu ni Ugongwa! Mr.Richmond alikuja akapita,"Doans" naye akanitia doa alafu akalala nyasi,nikajua "Epa" hatanitesa aliposepa ndo zaidi nikachekwa! Babu wa Roliondo akaninywesha vikombe kisha naye akatimka,Mv.spice Inslander ilipo sarenda kutofika bongo hata presda aligoma kwenda!Katiba mpya ana mtoto anayeitwa Ukawa,na yeye anadahi urithi na haki sawa;dah!sijuhi lini tutakuwa sawa!,"tuzifungue Brain zetu ili twende nao sawa hawa"Dengua alipobisha hodi tu maafa! huyu Ebora akiingia, sisi akina chini ya dola si ndo tutakoma kulinga,'Ewe mwana siasa msariti nipigishe tu politics nizidi kulia na tumbo, wewe zichote tu noti,siku nikiamua kukutoa nduki sitaogopa bunduki,Mmeamkaje jirani zangu wakenya,waganda Barundi na Rwanda?

No comments:

Post a Comment