Ofisa
Habari wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Veneranda
Malima (kulia) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Habari Elimu na
Mawasiliano, Cosmas Mwaisobwa, na Ofisa Habari wa Idara ya Habari,
Maelezo ,Zamaradi Kawawa, kwenye mkutano na waandishi wa habari..
![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_vKTQee3wbG9BT3sZ_7ABtwEsq0ClVY_K_9cHHUcj0QvSwJeF6y4TySh3Z2lO8gPK4XvumuKZmG9CHEo1DxeOpMeSMnqYuUyp5lRzRLY1-edTJtQVkMv1QkJ-Rp6kXJihVG5cEPEAddi_NWpa3r5uVE-BLxpawOZjFa9DzZHBaanX4N2MLqbI2i_FznT1_woVcIdJo3oWfroi__Uhq2yWXo7mS279lXnyX7v-K7aQ=s0-d)
Waandishi wa habari wakisikiliza taarifa hiyo.
Cosmas Mwaisobwa, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
BODI
ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini imetoa taarifa ya
mchakato wa maombi ya mikopo ya wanafunzi kwa mwaka wa masomo
2014/2015.Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi, Habari Elimu na
Mawasiliano, Cosmas Mwaisobwa, katika Ukumbi wa Habari, Maelezo,
jijini Dar es Salaam, leo.
IMETOKA GLOBAL PUBLISHER
No comments:
Post a Comment