Kwa maana tunajifunza kuwa tunapaswa kuziiga tabia za Mungu wetu,Mungu
si mbaguzi,yeye huwaangazia jua lake watu wote,huwaletea mvua wema na
wabaya!Magugu na Ngano hayana budi kukua kwa pamoja mpaka pale mvunaji
atakapokuja kuvuna mavuno yake mwenyewe;yeye ndo atayatenga magugu na
kuchukua ngano iliyo safi!basi niseme tu ya kwamba Mungu awabariki
kupita kipimo cha fikra zenu."Na iwe hivyo",Ubarikiwe sana uliye
like,uliye coment,uliye share na wewe uliyechat kupitia post
zangu!Niliye like status yake na wewe niliye coment status yako na
kuchat; pia ubarikiwe,kwa maana nimeyakubali mawazo yako nakuombea kwa
Mungu azidi kukupa maarifa!Wewe ambaye sikulike wala kucoment post yako
pia ubarikiwe,mwanadamu asipojifunza kwa mabaya;mema yatamfunza. "Siku
iwe nzuri kwako"
Karibu mpenzi msomaji kwenye blog hii, ili tuweze kuhabarishana na kubadilishana mawazo juu ya masuala ya MICHEZO SIASA ELIMU, MAISHA na mengineyo ndani na hata nje ya Tanzania. Simu :+255655534913/ +255764547675 Barua pepe :erastotoga@gmail.com
No comments:
Post a Comment